Mashambulizi mapya ya Urusi dhidi ya Ukraine yamechochea wasiwasi mpya kuhusu mustakabali wa vita vinavyoendelea kwa zaidi ya miaka mitatu+++Rais wa Kenya, William Ruto amepata pigo kwenye mpango wake wa kukabiliana na ufisadi baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuahirisha utekelezaji wa agizo lake la kuunda kikosi kazi cha kupambana na ufisadi.