Mkutano wa 59 wa bodi ya baraza la nyaraka, unaozihusisha nchi za mashariki na kusini mwa Afrika unaofanyika Arusha Tanzania+ Serikali ya Ujerumani imetangaza kupeleka maabara ya kuhamishika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+Mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo Pembe ya Afrika (IGAD) yameanzisha mpango mahsusi wa pamoja kupitia upya sera zaozinazohusu upatikanaji wa chakula cha kutosha.