Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Vladmir Putin amelitembelea jimbo la Urusi la Kursk kwa mara ya kwanza tangu Moscow ilipodai kuwa imevifurusha vikosi vya Ukraine kutoka eneo hilo mwezi uliopita. Mkoa huo ulikamatwa na Ukraine Agosti 2024 / Bunge la Uganda limepitisha miswaada miwili tata ambayo, kwa mujibu wa wachambuzi, inalenga kudhoofisha vyama vya siasa