Ukraine yaripoti visa karibu 3,000 vya ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji mapigano uliofanywa na Urusi. Israel yasema mauaji ya maafisa wa afya katika Ukanda wa Gaza lilikuwa kosa na itamuajibisha kamanda aliyehusika. Na makamu wa rais wa Marekani JD Vance aanza ziara ya siku nne nchini India.