Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakubaliana kuchukua hatua zote muhimu ili kuimarisha utayari wao kiulinzi ifikapo mwaka 2030+++Ushiriki wa wanawake katika uongozi na michezo bado ni mdogo kama ambavyo imebainika katika utafiti ulofanywa na Chama cha waandishi wa habari wanawake TAMWA-Zanzibar kwa kushirikiana na shirika la maendeleo la Ujerumani (GIZ)