China yasema inaunga mkono 'makubaliano ya hivi karibuni' yaliyofikiwa na Marekani na Urusi kuhusu vita vya Ukraine // Waziri Mkuu wa israel Benjamin Netanyahu aagiza operesheni kali dhidi ya vituo vya kigaidi kwenye Ukingo wa Magharibi // Vyama vya siasa vya Ujerumani vyakabiliana kwa mara ya mwisho kwenye mdahalo kuelekea uchaguzi