Hali ya wasiwasi inaonekana kutanda mjini Kinshasa, wakongomani wanaozungumza kiswahili mjini humo, baadhi yao wakidhaniwa kuwa ni waasi+++Waziri Mkuu wa israel Benjamin Netanyahu ameapa kwamba Hamas italipa kwa kushindwa kuutoa mwili wa mateka Shiri Bibas kama ilivyokubaliwa.