Hamas imesema leo kuwa inachunguza uwezekano wa kosa katika kutambua mabaki ya mwili uliokabidhiwa kwa Israel chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano+++Mwenyekiti wa zamani wa tume ya uchaguzi na mipaka,IEBC, Wafula Chebukati amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.