Mawaziri wa mambo ya kigeni kutoka Kundi la mataifa tajiri na yanayoinukia kiuchumi duniani la G20, wanakutana kwa siku ya pili leo mjini Johannesburg+++Serikali mpya ya Ujerumani inakabiliwa na changamoto kubwa za sera ya nje baada ya uchaguzi wa mwishoni mwa wiki hii.