Rais wa Marekani Donald Trump asema mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine kuanza mara moja. Uingereza, Canada na Ufaransa zaionya Israel kuhusu mwenendo wake katika Ukanda wa Gaza. Na afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kamil Idris ateuliwa kuwa waziri mkuu mpya wa Sudan.