Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Israel imeishambulia Gaza usiku wa kuamkia Jumanne huku mashambulizi hayo yaliyofanywa katika nyumba ya makaazi na shule yakisababisha vifo vya takriban watu 60 / Mapigano mapya yameibuka kati ya Jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF mjini Omdurman