Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi wa Ufaransa, Uingereza na Canada wamekosoa vikali operesheni mpya ya kijeshi ya Israel katika Ukanda wa Gaza na kutishia kuchukua hatua madhubuti ikiwa haitoyasitisha / Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa yuko nchini Marekani katika ziara muhimu itakayomkutanisha ana kwa ana na rais Donald Trump