Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amezungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Urusi Wladimir Putin katika hatua ya kuelekea kufikia makubaliano ya kusitisha vita hivyo / Kushamiri kwa visa vya wanafunzi kujitoa uhai nchini Uganda kumeibua mjadala mzito