Urusi na Marekani zinajadili uwezekano wa uchaguzi wa Ukraine. Haya yanajiri huku mzozo wa Ukraine na Urusi ukionekana kuchukua mkondo tofauti kufuatia mazungumzo yaliyofanywa kati ya wanadiplomasia wa Marekani na Urusi mjini Riyadh+++Wizara ya mambo ya nje ya Kenya, imesema kuwa iko tayari kuunga mkono juhudi za kutafuta amani nchini Sudan.