Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, amesisitiza kuwa migogoro inayoendelea ulimwenguni inazidi kuathiri maisha ya binadamu na kuongeza hatari ya usalama duniani+++Burundi inakabiliwa na wimbi kubwa zaidi la wakimbizi huku maelfu wakikimbia mgogoro unaozidi kuongezeka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.