Mjadala wa kusaka amani ya Ukraine umechukua sura mpya baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza mpango wa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya marais Volodymyr Zelensky na Vladimir Putin+++Leo ni maadhimisho ya siku ya watoa misaada ya kibinadamu duniani huku dunia ikiendelea kushuhudia majanga ya asili na migogoro mbalimbali ya kivita ikiathiri utoaji wa misaada.