Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken leo ametoa mwito kwa Israel na Hamas kutovuruga mazungumzo yanaweza kuwa ni fursa ya mwisho ya kupatikana mwafaka wa vita vya Gaza+Dunia inaadhimisha hivi leo Siku ya Huduma za Kibinaadamu huku Umoja wa Mataifa ukisema kuwa wafanyakazi waliouawa kwenye maeneo yenye migogoro duniani mwaka uliopita ilivunja rikodi