Waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mjini Jerusalem+Zaidi ya visa 200 vya homa ya Monkeypox vimeripotiwa katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasis ya Kongo+Polisi ya Tanzania leo imewafikisha mahakamani wanaume wanne wanaotuhumiwa kumbaka na kumlawiti msichana mmoja