Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya Iran, mbali na kuwauwa makamanda wa juu wa jeshi la Iran yamewauwa mamia ya watu wakati kwa upande wa Tel Aviv kukiripotiwa kuwa zaidi ya raia 20 wameuwawa / Afrika inakabiliwa na idadi kubwa zaidi ya vitendo vya utumikishwaji wa watoto duniani