Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, chadema-Tundu Lissu amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo+++Rais Donald Trump wa Marekani anatazamia kuzungumza kwa njia ya simu kwa nyakati tafauti na marais wenzake wa Urusi, Vladimir Putin, na Volodymyr Zelensky wa Ukraine