Tanzania - Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaharakati ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kuingia Tanzania na kutoa matamko yanayoweza kuchochea uvunjifu wa amani katika taifa hilo+++DR Congo - Katika wilaya ya Lubero, vituo vya afya vinakabiliwa na uhaba wa madawa+++Uingereza na Umoja wa Ulaya wafikia makubaliano ya kihistoria