Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis, ambaye amegundulika kuwa na nimonia kwenye mapafu yake mawili / Sudan inamshutumu Rais William Ruto wa Kenya kwa kukiuka ahadi katika ngazi ya juu kabisa, ikidai kuwa Kenya iliruhusu mazungumzo ya kuanzisha serikali sambamba kuendelea licha ya kuhakikisha vinginevyo