Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu amemwambia waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani kuwa nchi yake inalipinga pendekezo la kuwahamisha Wapalestina kutoka Gaza / Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amemshutumu Rais Donald Trump kwa kushawishiwa na kile alichokiita "habari potofu" za Urusi