Mamia kwa maelfu ya waandamanaji waliteremka mitaani kwenye mji wa Tel Aviv na maeneo mengine nchini Israel usikuwa kuamkia leo kupaza sauti za kutaka kumalizwa kwa vita vinavyoendelea Ukanda wa Gaza// Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mashahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kufichwa.