Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amewasili mjini Washington kwa ajili ya mkutano wake na Rais wa Marekani Donald Trump// Wakati matarayisho ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania yakiendelea, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema, kura ya mapema itafanyika kama ilivyo kwenye sheria ya tume hiyo licha ya chama kikuu cha upinzani- ACT Wazalendo kupinga,