Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Trump amesema Marekani inajua alikojificha kiongozi wa juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei lakini hawana nia ya kumuua / Urusi imejitokeza waziwazi kusimama upande wa Iran katika vita vinavyoendelea sasa baina ya Jamhuri hiyo ya Kiislamu na Israel