Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Raia wa Israel wameadhimisha siku 500 za vita Gaza kwa kufanya maandamano ya kudai hatua zaidi za usitishaji mapigano / Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waasi wa M23 wanaendelea kusonga mbele katika jimbo la Kivu kusini, ambapo wameuteka mji wa Bukavu