Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema kumaliza vita vya Urusi dhidi ya Ukraine kutahitaji pande zote kufanya maridhiano+++Umoja wa Mataifa umeonya kwamba hali mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inazidi kuzorota kwa kasi, na kusababisha ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.