Wajumbe wa Marekani wakiongozwa na waziri wa mambo ya nje Marco Rubio wameanza mazungumzo na wenzao wa Umoja wa Ulaya mjini Paris,kuhusu namna ya kupata njia ya kumaliza vita nchini Ukraine+++Wizara ya kilimo Tanzania imesema hatua ya kuzuia wakulima nchini humo kutouza mazao yao nchi za Malawi na Afrika Kusini, si ishara ya mgogoro kati ya mataifa hayo.