Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo Jumatatu kwa ajili ya mkutano maalumu wa dharura// Waasi wa M23 waingia mjini Bukavu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Wagombea wakuu wanne wa ukansela nchini Ujerumani Friedrich Merz, Olaf Scholz, Robert Habeck, na Alice Weidel, wamefanya mdahalo wa moja kwa moja wa televisheni jana Jumapili.