Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema usalama wa Ulaya uko katika mabadiliko muhimu//Mjadala unashika kasi kuhusu suala la ujenzi mpya wa Ukanda wa Gaza//Raia wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo wapatao elfu 10 wamevuka mpaka na kuingia kuomba hifadhi nchini Burundi.